Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Fountain Gate, Singida BS

Droo Ligi ya Mabingwa, Shirikisho ni leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
9 Aug 2025
Droo Ligi ya Mabingwa, Shirikisho ni leo

Leo Agosti 09, Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kufanya droo ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika kwa msimu wa 2025/2026.

Droo hii itafanyika kuanzia saa 7:00 mchana katika studio za Azam Media na kuonyeshwa mbashara

Wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa ni Yanga na Simba wakati katika Kombe la Shirikisho ni Azam FC na Singida BS

Mechi za mtoano hatua ya awali na raundi ya kwanza zinatarajiwa kupangwa

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
7h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
11h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
12h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
14h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
16h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
17h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
17h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
19h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
23h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’