Droo Ligi ya Mabingwa, Shirikisho ni leo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 9th August 2025


Droo Ligi ya Mabingwa, Shirikisho ni leo

Leo Agosti 09, Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kufanya droo ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika kwa msimu wa 2025/2026.

Droo hii itafanyika kuanzia saa 7:00 mchana katika studio za Azam Media na kuonyeshwa mbashara

Wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa ni Yanga na Simba wakati katika Kombe la Shirikisho ni Azam FC na Singida BS

Mechi za mtoano hatua ya awali na raundi ya kwanza zinatarajiwa kupangwa


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.