Droo ya mechi za hatua ya awali na raundi ya kwanza ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika (CAF CL) imefanyika leo jijini Dar es salaam ambapo Simba imepangwa kuchuana na Gaborone United ya Botswana katika hatua ya awali
Mchezo wa kwanza utapigwa Botwana na mechi ya marudiano kupigwa wiki moja baadae jijini Dar es salaam
Aidha kama Simba itafanikiwa kutinga raundi ya kwanza,..... download Xtra 90 App



