Winga wa Uingereza Jack Grealish, 29, amekubali kujiunga na Everton kwa mkopo kutoka Manchester City . (TeamTalk)
Chelsea wanafanya mazungumzo na RB Leipzig kuhusu uwezekano wa kumnunua kiungo wa kati wa Uholanzi Xavi Simons, 22, jambo linaloweza kumaanisha kuwa mshambuliajii wa Ufaransa Christopher Nkunku, 27, atarejea katika klabu hiyo ya Ujerumani. (Guardian)





