Klabu ya Azam Fc imethibitisha kumsajili kiungo wa zamani wa Simba Sadio Kanoute
Azam Fc imemtambulisha Kanoute baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili utakaomuweka mitaa ya Chamazi hadi mwaka 2027
Nyota huo raia wa Mali ametua Azam Fc akiwa mchezaji huru baada ya kuitumikia JS Kabylie ya Algeria msimu uliopita





