Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids ameridhishwa na kiwango cha kiungo Naby Camara raia wa Guinea na hivyo fundi huyo wa mpira anatarajiwa kupewa mkataba wa miaka miwili kuwatumikia Wekundu hao wa Msimbazi, imefahamika
Camara aliwasili Ismailia wiki iliyopita Fadlu akihitaji kumfuatilia mazoezini kabla ya kuidhinisha usajili wake
Nyota huyo aliyewahi kuitumikia CS Sfaxien, juzi alipata..... download Xtra 90 App



