Kocha Mkuu wa Yanga Romain Folz jana katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Rayon Sports uliopigwa uwanja wa Amahoro huko Rwanda, aliwaanzisha wachezaji wanne wapya
Viungo Moussa Balla Conte, Mohamed Doumbia winga Celestin Ecua na mshambuliaji Andy Boyeli walianza kipindi cha kwanza katika mchezo huo ambao Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 3-1
Ukiwa ni mchezo wa kwanza wa ushindani..... download Xtra 90 App



