Local,Normal News,Simba

Simba yashinda 2-0 dhidi ya Wadi Degla Misri

Joel JJ By Joel JJ
β€’
26 Aug 2025
Simba yashinda 2-0 dhidi ya Wadi Degla Misri

Simba leo imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Wadi Degla inayoshiriki ligi kuu ya Misri

Ni mchezo wa nne wa kirafiki kwa Simba ambayo inahitimisha pre-season hapo kesho

Mabao ya Simba yalipatikana katika kipindi cha pili yakifungwa na Elie Mpanzu aliyefunga bao la kuonga kwa shuti la mbali kabla ya Kibu Denis kuongeza bao la pili akimalizia krosi ya Jean Charles Ahoua

Katika mchezo huo Mkufunzi wa Simba Fadlu Davids alianza na Camara, Chasambi, Naby Camara, Caraboua, Rushine, Morice, Maema, Ahoua, Mukwala, Kibu na Mpanzu

Vijana wa Fadlu leo walitawala mchezo na pengine wangeweza kuondoka na ushindi wa mabao matatu kama bao la Steven Mukwala lisingekataliwa ikiwa offside

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
3m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
32m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’