Local,Transfer News,Yanga

Mzize aongeza mkataba Yanga

Joel JJ By Joel JJ
β€’
27 Aug 2025
Mzize aongeza mkataba Yanga

Mshambuliaji Clement Mzize amechagua kuendelea kutumikia Yanga baada ya kuongeza mkataba

Baada ya majadiliano ya wiki kadhaa hatimaye Yanga imeshinda, ikifanikiwa kumbakisha mshambuliaji wake muhimu

Yanga ilipokea ofa nyingi kwa ajili ya Mzize katika dirisha hili, Esperance ya Tunisia ikitajwa kuwasilisha ofa nono zaidi inayofikia dola Milioni 1

Yanga iliweka iliweka wazi mpango wa kumbakisha mshambuliaji huyo ambaye aliiongoza Taifa Stars katika michuano ya CHAN akifunga mabao mwili

Mzize ataendelea kusalia Yanga hadi mwaka 2028

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
4h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
10h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
16h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’