Mzize aongeza mkataba Yanga

Joel JJ By Joel JJ β€’ 27th August 2025


Mzize aongeza mkataba Yanga

Mshambuliaji Clement Mzize amechagua kuendelea kutumikia Yanga baada ya kuongeza mkataba

Baada ya majadiliano ya wiki kadhaa hatimaye Yanga imeshinda, ikifanikiwa kumbakisha mshambuliaji wake muhimu

Yanga ilipokea ofa nyingi kwa ajili ya Mzize katika dirisha hili, Esperance ya Tunisia ikitajwa kuwasilisha ofa nono zaidi inayofikia dola Milioni 1

Yanga iliweka iliweka wazi mpango wa kumbakisha mshambuliaji huyo ambaye aliiongoza Taifa Stars katika michuano ya CHAN akifunga mabao mwili

Mzize ataendelea kusalia Yanga hadi mwaka 2028


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.