Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids ameeleza kuridhishwa na mwenendo wa kikosi chake baada ya wiki nne za pre-season huko Misri
Leo Simba inakamilisha mechi ya mwisho ya kirafiki dhidi ya FS Fassel ya Liberia kabla ya kurejea Tanzania siku ya kesho Alhamisi
Akizungumza jana baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Wadi Degla, Fadlu alibainisha kuhitaji kuongezewa mshambuliaji mwingine..... download Xtra 90 App



