Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Yanga Ali Kamwe amesema mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Yanga dhidi ya Simba una umuhimu wa kipekee kwani fedha zitakazopatikana zitakwenda kusaidia yatima na wale wenye uhitaji
Kamwe amesema mchezo huo unapaswa kupigwa kama ulivyopangwa Septemba 16 lakini kama kuna ulazima wa kuchezwa mapema Yanga iko tayari mchezo huo kupigwa siku ya kilele cha..... download Xtra 90 App



