Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepitia na kufanya marekebisho muhimu ya kanuni zitakazotumika kwenye Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025/26. Maboresho haya yamelenga kuongeza ushindani, uwajibikaji, na ubora wa ligi. Hapa tumekuandalia muhtasari wa mabadiliko makuu:





