Simba wamkumbuka Hanspoppe

Joel JJ By Joel JJ β€’ 31st August 2025


Simba wamkumbuka Hanspoppe

Wakitokea Mafinga kwenye uzinduzi wa Wiki ya Simba, msafara wa viongozi na mashabiki ukiwa njiani kurejea jijini Dar es Salaam, wametembelea na kufanya dua kwenye kaburi la aliyekuwa Mjumbe wa Bodi ya Simba, Zacharia Hans Poppe.


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.