Liverpool wamekubaliana ada ya Β£125m na Newcastle kumsajili Alexander Isak. The Reds watawasilisha ada ya rekodi ya Uingereza itakayofikia Β£130m. (Telegraph)
Aston Villa wamefanya mazungumzo na Manchester United kuhusu usajili wa winga wa England Jadon Sancho, 25. (Athletic)
Aston Villa pia wamewasilisha nia ya kumsajili kipa wa Kibelgiji wa Royal Antwerp, Senne Lammens, 23...... download Xtra 90 App



