Klabu ya Yanga ina thamani ya Shilingi Bilioni 100, baada ya kamati maalum iliyoundwa kwa ajili ya tathmini hiyo kukamilisha kazi yake.
Akizungumza jana katika Mkutano Mkuu wa Wanachama uliofanyika kwenye ukumbi wa SuperDome, Masaki jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Alex Mgongolwa, alisema tathmini hiyo imefanywa na kampuni ya kimataifa ya ushauri wa uwekezaji na mali..... download Xtra 90 App



