Wakati Simba ikichuana na Gor Mahia jana katika mchezo wa kirafiki maalum kuhitimisha Tamasha la Simba Day, mashabiki wa Simba walikuwa makini kuangalia viwango vya nyota wapya waliosajiliwa katika dirisha hili
Kwa ujumla Wanasimba walionekana kuridhishwa na viwango vilivyoonyeshwa na wachezaji wote wapya waliopewa nafasi katika mchezo huo ambao Simba iliibuka na ushindi wa mabao 2-0 hasa..... download Xtra 90 App



