Kiungo mahiri wa Azam FC na Timu ya Taifa ya Tanzania, Feisal Salum Abdallah "Fei Toto", ameongeza mkataba mpya wa mwaka mmoja kuendelea kuichezea timu hiyo hadi mwaka 2027.
Feisal, ambaye alitikisa dirisha la usajili baada ya kuhusishwa kwa muda mrefu na klabu ya Simba SC, sasa amefuta uvumi huo kwa kusalia Chamazi. Hatua yake imezima matumaini ya mashabiki wa Wekundu wa Msimbazi..... download Xtra 90 App



