Baada ya kuxhuhudia mchezo wa Ngao ya Jamii hapo jana Yanga ikifanikiwa kutetea Ngao hiyo kwa msimu wa pili mfululizo baada ya kuichapa Simba bao 1-0, mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC inaanza kutimua vumbi leo katika viwanja viwili
Saa 10 jioni KMC watakuwa wenyeji wa Dodoma Jiji katika mchezo utakaopigwa uwanja wa KMC Complex huku Coastal Union wakiikabili Tanzania Prisons katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Mkwakwani
Hii hapa ratiba ya mechi za wiki hii;




