Local,Normal News,Coastal, Mashujaa, KMC, Dodoma, Prison

Pazia la ligi kuu 2025/26 kufunguliwa leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
17 Sep 2025
Pazia la ligi kuu 2025/26 kufunguliwa leo

Baada ya kuxhuhudia mchezo wa Ngao ya Jamii hapo jana Yanga ikifanikiwa kutetea Ngao hiyo kwa msimu wa pili mfululizo baada ya kuichapa Simba bao 1-0, mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC inaanza kutimua vumbi leo katika viwanja viwili

Saa 10 jioni KMC watakuwa wenyeji wa Dodoma Jiji katika mchezo utakaopigwa uwanja wa KMC Complex huku Coastal Union wakiikabili Tanzania Prisons katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Mkwakwani

Hii hapa ratiba ya mechi za wiki hii;

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
7h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
11h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
12h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
14h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
16h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
17h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
17h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
19h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
23h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’