Rais wa Klabu ya Yanga, Injinia Hersi Said, ameendelea kuthibitisha hadhi yake kama kiongozi wa mafanikio makubwa baada ya jana kushuhudia timu yake ikinyakua taji la kwanza la msimu huu.
Yanga ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya watani wao wa jadi Simba SC katika mchezo wa Ngao ya Jamii uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.
Hilo lilikuwa taji la sita kwa Yanga..... download Xtra 90 App



