Kikosi cha Yanga leo kinarejea mazoezini kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Pamba Jiji ambao utapigwa Jumatano, Septemba 24 katika uwanja wa Benjamin Mkapa
Msimu huu Yanga imechagua kutumia dimba la Mkapa kama uwanja wake wa nyumbani katika mechi za ligi kuu, kombe la CRDB na Ligi ya mabingwa
Ni baada ya Serikali kufungua uwanja huo ambao kwa takribani misimu..... download Xtra 90 App



