Leo ni siku kubwa kwenye dunia ya soka ambapo Tuzo za Ballon dβOr zinatolewa kwa vipengele mbalimbali, zikihusisha mastaa wakubwa wanaowakilisha vilabu na mataifa tofauti.
Hata hivyo, habari kubwa imeibuka β Paris Saint-Germain (PSG) haitokuwepo kwenye sherehe hizo licha ya kuwa na wachezaji 10 walioteuliwa (nominees).
Sababu kuu ya PSG kukosa hafla hiyo ni ratiba ya ligi. Timu..... download Xtra 90 App



