Baada ya kuruhusu mabao matano katika mechi mbili za kirafiki, mkufunzi wa Simba Dimitar Pentev ameweka wazi mpango mkakati wake wa kuboresha eneo la ulinzi
Simba licheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya Al Hilal ambapo mechi ya kwanza iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 na mechi ya pili wekundu hao wa Msimbazi wakakubali kupoteza kwa mabao 4-1
Katika mazoezi yanayoendelea Mo Simba..... download Xtra 90 App



