Jumamosi Oktoba 18 katika uwanja wa Bingu, Yanga itakuwa ugenini kuikabili Silver Strikers katika mchezo wa mkondo wa kwanza kuwania tiketi ya kutinga hatua ya makundi ligi ya mabingwa barani Afrika
Habari njema ni kuwa Wananchi wana uhakika wa sapoti kubwa kutoka kwa mashabiki wao kwani licha ya wale wanaoishi nchini Malawi, kuna msafara utaondoka leo kuelekea Malawi kuongeza hamasa..... download Xtra 90 App



