Kocha Mkuu wa Yanga Romain Folz amesema amekiandaa kikosi chake kwenda kupambana huko Malawi ili kuhakikisha wanaanza vyema mechi ya mkondo wa kwanza kuwania kutnga hatua ya makundi ya michuano ya ligi ya mabingwa (CAFCL) dhidi ya Silver Strikers
Yanga inatarajiwa kuondoka nchini kesho Alhamisi kuelekea Malawi ambapo mchezo huo utapigwa siku ya Jumamosi, Oktoba 18





