Bajaber aanza mazoezi Simba

Joel JJ By Joel JJ β€’ 15th October 2025


Bajaber aanza mazoezi Simba

Kiungo mshambuliaji wa Simba Mohammed Bajaber amepona majeraha yaliyomuweka nje tangu mwezi Julai wakati wa pre-season nchini Misri

Meneja wa habari na mawasiliano wa Simba Ahmed Ali amefichua kuwa Bajaber ameendelea na program maalum kuimarisha utimamu wa mwili kabla ya kuanza rasmi kuonekana kwenye kikosi cha kwanza

Baada ya kumsubiri kwa muda mrefu, hatimaye ni suala la muda kwa mashabiki wa Simba kumshuhudia nyota huyo raia wa Kenya


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.