Local,Normal News,Yanga

Okello aanza kujifua na Yanga

Joel JJ By Joel JJ
β€’
14 Jan 2026
Okello aanza kujifua na Yanga

Kiungo mshambuliaji Allan Okello ameanza rasmi kujifua na kikosi cha Yanga siku chache tangu ajiunge na mabingwa hao wa nchi.

Yanga imemsajili Okello kutoka klabu ya Vipers Fc ya Uganda, akisaini mkataba wa miaka miwili na nusu.

Yanga inatarajiwa kumtumia nyota huyo kwenye michuano ya ligi ya mabingwa, Yanga ikitarajiwa kuumana na Al Ahly Januari 23.

More Stories

Barker apania kuendeleza ubabe dhidi ya Mighty Wonderers
Barker apania kuendeleza ubabe dhidi ya Mighty Wonderers
7h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 25, Septemba 12 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 25, Septemba 12 2026
8h ago
READ MORE β†’
EPL leo: mechi saba za kibabe
EPL leo: mechi saba za kibabe
9h ago
READ MORE β†’
CAF Champions league kuendelea leo
CAF Champions league kuendelea leo
9h ago
READ MORE β†’
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
21h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
1d ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
1d ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
1d ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
1d ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
1d ago
READ MORE β†’