Aston Villa imeonyesha nia ya kutaka kumsajili mshambuliaji wa Crystal Palace na Ufaransa Jean-Philippe Mateta, 28, huku The Eagles wakimsaka mchezaji wa kimataifa wa Ivory Coast Evann Guessand, 24. (Athletic - usajili unahitajika)
Villa pia inaongeza juhudi za kumsajili mshambuliaji wa Roma Tammy Abraham, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo Besiktas, huku maafisa wa klabu hiyo wakimfuatilia..... download Xtra 90 App



