Local,Transfer News,Singida

Singida BS yashusha kiungo kutoka Burundi

Joel JJ By Joel JJ
β€’
22 Jan 2026
Singida BS yashusha kiungo kutoka Burundi

Baada ya kuachana na Clatous Chama aliyetimkia Simba, klabu ya Singida Black Stars imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji Mossi Nduwume.

Nduweme anatua Singida BS akitokea klabu ya Flambeau CFC ya ligi kuu ya Burundi.

Nyota anatajwa kusaini mkataba wa miaka mitatu na walima alizeti hao.

Anatarajiwa kuwasili nchini Ijumaa, Januari 23 kuanza majukumu yake na Singida BS ambayo kwa sasa iko visiwani Zanzibar tayari kwa mchezo dhidi ya Otoho michuano ya kombe la Shirikisho siku ya Jumapili.

Nduwume tayari ameshaagwa na Flambeau CFC

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’