Kesho Ijumaa, Januari 23, 2026, klabu ya Yanga itashuka dimba la Borg El Arab huko Alexandria, Misri, kukabiliana na mabingwa wa kihistoria wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Al Ahly, katika mchezo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa na presha ya hali ya juu.
Mchezo huu ni muhimu sana kwenye kundi B la CAFCL, ambapo Al Ahly na Yanga kila mmoja ana pointi 4, hali inayofanya ushindi wowote kuwa..... download Xtra 90 App



