Manchester United imetangaza kuwa kiungo wao Casemiro ataondoka klabuni hapo mara baada ya mkataba wake kumalizika mwishoni mwa msimu huu.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33 alijiunga na Manchester United akitokea Real Madrid mwaka 2022 kwa ada ya pauni milioni 70, na amefanikiwa kucheza jumla ya mechi 146.
Alifunga bao la kwanza katika ushindi wa fainali ya Kombe la Carabao..... download Xtra 90 App



