Bayern Munich jana walikumbana na kipigo cha kwanza msimu huu wa Bundesliga baada ya kushindwa 21 nyumbani dhidi ya FC Augsburg Jumamosi, Januari 24, 2026.
Matokeo hayo yameibua gumzo kubwa katika soka la Ujerumani, huku rekodi ya Bayern ya kutoshindwa kwenye ligi ikivunjika na kuonyesha jinsi msimu huu wa Bundesliga unavyokuwa wa ushindani mkali.





