Nottingham Forest wametoa ofa ya pauni milioni 35 kumsajili mshambuliaji wa Crystal Palace, Jean-Philippe Mateta, lakini Palace (Eagles) wanataka kifurushi cha pauni milioni 40 na watamruhusu Mfaransa huyo mwenye umri wa miaka 28 kuondoka ikiwa bei hiyo itafikiwa. (Athletic)
Juventus pia wanavutiwa na winga wa Liverpool, Mtaliano, Federico Chiesa, 28, na mshambuliaji wa Uholanzi Joshua..... download Xtra 90 App



