Hatma ya beki wa kulia wa Real Madrid na timu ya taifa ya England, Trent Alexander-Arnold (27), inaendelea kuwa gumzo barani Ulaya, huku nyota huyo akiripotiwa kukumbana na changamoto kubwa ndani ya kikosi cha Los Blancos tangu kuanza kwa dirisha la usajili la majira haya ya kiangazi.
Taarifa zinaeleza kuwa Manchester City inaendelea kumfuatilia kwa karibu Trent, ikivutiwa zaidi na uwezo..... download Xtra 90 App



