Local,Normal News,Simba, Mashujaa

Simba yazinduka, yaichapa Mashujaa Fc 2-0

Joel JJ By Joel JJ
β€’
29 Jan 2026
Simba yazinduka, yaichapa Mashujaa Fc 2-0

Simba leo imerejesha furaha ya mashabiki wake ikiibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mashujaa Fc katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa uwanja wa Isamuhyo, Mbweni jijini Dar es salaam.

Mabao ya Libasse Gueye na Suleiman Mwalimu yalitosha kuihakikisha Simba alama tatu muhimu katika mchezo ambao Simba ilicheza kwa mamlaka zaidi huku nyata wapya hasa Anicet Oura na Gueye wakidhihirisha ubora wao.

Pengine Simba ilistahili kupata ushindi mnono zaidi kama matumizi ya nafasi yangekuwa sahihi zaidi huku Kubu Denis akipoteza nafasi adimu ya mkwaju wa penati.

Simba ilizihitaji alama tatu leo ili kurejesha morali ya timu kuelekea mechi ngumu ya ligi ya mabingwa dhidi ya Esperance itakayopigwa Jumapili.

Mnyama sasa anarudi mazoezini kukamilisha maandalizi ya kuikabili Esperance katika mchezo ambao Simba LAZIMA ishinde ili kuweka hai matumaini ya kuisaka tiketi ya robo fainali.

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
2h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
2h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
3h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
4h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
4h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
5h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
20h ago
READ MORE β†’