Simba leo imerejesha furaha ya mashabiki wake ikiibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mashujaa Fc katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa uwanja wa Isamuhyo, Mbweni jijini Dar es salaam.
Mabao ya Libasse Gueye na Suleiman Mwalimu yalitosha kuihakikisha Simba alama tatu muhimu katika mchezo ambao Simba ilicheza kwa mamlaka zaidi huku nyata wapya hasa Anicet Oura na Gueye wakidhihirisha ubora..... download Xtra 90 App



