Klabu ya Dodoma Jiji FC imekamilisha usajili wa mshambuliaji mkongwe Elias Maguli (34), hatua inayolenga kuimarisha safu ya ushambuliaji wa timu hiyo kuelekea michezo ijayo ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara.
Maguli ni jina linalofahamika vyema kwenye soka la Tanzania kutokana na uzoefu wake mkubwa na uwezo wa kufumania nyavu. Ndani ya nchi, mshambuliaji huyo amewahi kuzitumikia klabu kadhaa..... download Xtra 90 App



