Klabu ya Simba SC inakabiliwa na mtihani mzito wa kufa au kupona itakapokutana na Esperance Tunis siku ya Jumapili katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, mechi inayotajwa kuwa ya maamuzi kwa hatma ya Wekundu wa Msimbazi katika kuisaka tiketi ya robo fainali ya michuano hiyo.
Mchezo huo unabeba uzito mkubwa siyo kwa kuwania pointi pekee, bali pia kwa kurejesha morali ya kikosi ambacho..... download Xtra 90 App



