Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola, amezua mjadala mtandaoni baada ya kuonekana akizungumza kwa kina na mchezaji wa Newcastle United, Sandro Tonali, mara baada ya ushindi wa 3-1 wa City katika mchezo wa Carabao Cup.
Ushindi huo uliipa City jumla ya mabao 5-1 na kukata tiketi kuelekea fainali ya taji hilo. Mazungumzo hayo kati ya Guardiola na..... download Xtra 90 App



