Dimba la KMC Complex latolewa kifungoni

Joel JJ By Joel JJ β€’ 5th February 2026


Dimba la KMC Complex latolewa kifungoni

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kufungulia uwanja wa KMC Complex baada ya kufanyiwa maboresho.

Uwanja huo ulifungiwa kutokana na miundombinu yake kutofaa kutumika kwa mujibu wa kanuni kama ilivyoainishwa kwenye masharti ya kanuni ya leseni za klabu.


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.