Rais wa FC Barcelona, Joan Laporta, amejiuzulu rasmi leo Jumatatu, Februari 9, ili kuanza kampeni ya kuwania tena nafasi ya urais wa klabu hiyo kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Machi 2026.
Kwa mujibu wa taarifa ya klabu, makamu wa rais Rafa Yuste atachukua jukumu la kuiongoza Barcelona kwa muda hadi mchakato wa uchaguzi utakapokamilika. Hatua ya Laporta kuachia madaraka inalenga..... download Xtra 90 App



