Stade Malien imekuwa timu ya kwanza kukata tiketi ya robo fainali michuano ya ligi ya mabingwa kutoka kundi D baada ya kuichapa Esprance bao 1-0 hapo jana.
Baada ya ushindi huo, Stade Malien walifikisha alama 11 na kujihakikisha kuongoza kundi D, kwani hakuna timu nyingine inaweza kufikisha alama hizo katika kundi.
Esperance na Petro Atletico kila moja ina alama sita mechi ya mwisho..... download Xtra 90 App



