Yanga inatarajiwa kurejea leo kutoka Morocco baada ya mchezo wa raundi ya tano ligi ya mabingwa kundi B wakikubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa AS FAR.
Baada ya kurejea, hakutakuwa na muda wa kupoteza kwani vijana wa kocha Pedro Goncalves wanapaswa kuanza maandalizi ya mchezo wa maamuzi dhidi ya JS Kabylie ambao utapigwa Jumapili, Februari 15.
Kimahesabu Yanga bado ina nafasi ya..... download Xtra 90 App



