Local,Normal News,Yanga, Dodoma Jiji

William Edgar, Goncalves washinda tuzo za ligi kuu Januari

Joel JJ By Joel JJ
β€’
9 Feb 2026
William Edgar, Goncalves washinda tuzo za ligi kuu Januari

Kocha Mkuu wa Yanga Pedro Goncalves ameshinda tuzo ya kocha bora wa ligi kuu ya NBC kwa mwezi Januari 2026.

Goncalves ametwaa tuzo hiyo akiwashinda Juma Mgunda wa Namungo Fc na Yusuph Chipo wa Mtibwa Sugar.

Aliingoza Yanga kushinda mechi zilizopigwa Januari, dhidi ya Mashujaa Fc (6-0) na dhidi ya Dodoma Jiji (3-1).

Aidha tuzo ya mchezaji bora imechukuliwa na William Edgar wa Dodoma Jiji ambaye amewashinda Laurindo Aurelio (Yanga) na Fabrice Ngoy wa Namungo Fc.

Aidha Kamati ya tuzo ya TFF imeteua mabao matatu yaliyofungwa Januari kuwania tuzo ya goli bora la mwzi.

  1. Laurindo Aurelio - (Yanga dhidi ya Dodoma Jiji)
  2. Libasse Gueye (Simba dhidi ya Mashujaa)
  3. Lassa Kialla (Coastal Union dhidi ya KMC)

Mashabiki wanaweza kupiga kura kupitia kurasa rasmi za mtandao wa Instagram @ligikuu, @tanfootball na #nbc_tanzania

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
9h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
12h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
14h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
16h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
18h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
19h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
19h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
21h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
1d ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’