Local,Normal News,Prisons, Simba

Tanzania Prisons yapeleka mechi za ligi kuu Dodoma

Joel JJ By Joel JJ
β€’
18 Feb 2026
Tanzania Prisons yapeleka mechi za ligi kuu Dodoma

Klabu ya Tanzania Prisons imetoa taarifa kuwa itacheza mechi za ligi kuu uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma wakati uwanja wa Sokoine, Mbeya ukiendelea na ukarabati.

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) hivi karibuni lilitangaza kufungia uwanja wa Sokoine baada ya kutokidhi vigezo vya kikanuni.

Februari 22 Tanzania Prisons watakuwa wenyeji wa Simba katika mchezo wa ligi kuu ambao sasa utapigwa mkoani Dodoma.

Kabla ya mchezo huo, Februari 19 Tanzania Prisons wanakabiliwa na mchezo wa kombe la CRDB ambao umepangwa kupigwa uwanja wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
5h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
11h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
17h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’