Mshambuliaji wa England mwenye miaka 29 Ivan Toney wa Al-Ahli anaweza kurejea kwenye ligi ya Premia.(Sky Sports)
Liverpool FC hawana mpango wa kumuuza kiungo wa Hungary mwenye miaka 25 Dominik Szoboszlai, licha ya kuhusishwa na Real Madrid CF, huku mazungumzo ya mkataba mpya yakiendelea.(Teamtalk)
Mshambuliaji wa Ujerumani mwenye miaka 24 Nick Woltemade hana furaha Newcastle..... download Xtra 90 App



