Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe amesema ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Cosmopolitan katika mchezo wa hatua ya 32 bora kombe la CRDB, ni matokeo muhimu kwao kwani wamekata tiketi ya kufuzu hatua ya 32 bora.
..... download Xtra 90 App



