Kocha maarufu na mwenye maneno mengi Jamhuri Kiwhelo 'Julio' ameanza rasmi majukumu ya kukinoa kikosi cha Mashujaa Fc.
Julio ametua Mashujaa Fc akichukua nafasi ya Salum Mayanga ambaye alionyeshwa mlango wa kutokea baada ya mfululizo wa matokeo mabaya.
Je Julio atarejesha makali ya Mashujaa Fc?






