Klabu ya Real Madrid imejikuta katika wakati mgumu kwenye mbio za ubingwa wa La Liga baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya CA Osasuna usiku wa Jumamosi, Februari 21, 2026.
Mchezo huo uliochezwa katika dimba la El Sadar Stadium ulikuwa na ushindani mkubwa kuanzia dakika za mwanzo, huku wenyeji wakionyesha dhamira ya kusaka ushindi mbele ya mashabiki wao.





