Yanga S.C., Simba S.C., Azam F.C. na Singida Black Stars F.C. wameonyesha makali yao baada ya kurejea kutoka majukumu ya mashindano ya CAF kwa kushinda michezo yao ya viporo katika Ligi Kuu ya NBC.
Jana jumla ya mechi nne zilichezwa katika viwanja tofauti nchini, huku kila mmoja wa vigogo hao akikusanya pointi tatu muhimu.
Mapema mchana, Singida Black Stars walikuwa ugenini katika..... download Xtra 90 App



