Manchester United wana nia ya kuwasajili wachezaji wa kati wa Nottingham Forest wa Uingereza Morgan Gibbs-White, 26, na Elliot Anderson, 23, lakini wapinzani wao Manchester City pia wanawafuatilia wachezaji wote wawili. (Mail - Subscription Required)
Borussia Dortmund itadai ada ya takriban euro 70m (Β£61m) kwa kiungo wa kati wa Ujerumani Felix Nmecha, 25, ambaye anasakwa na Manchester..... download Xtra 90 App



