Mapema leo, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) lilimtangaza Nassor Mwinchui mwamuzi kutoka Tanga ndiye mwamuzi wa kati mchezo wa ligi kuu ya NBC kati ya Yanga dhidi ya Simba utakaopigwa Jumapili, March 1 katika uwanja wa New Amaan Complex.
Mwamuzi Msaidizi I ni Kassim Mpanga kutoka Dar es salaam wakati Msaidizi II ni Hamdan Said kutoka Mtwara,





